mamia ya wakazi wa mkoa wa mwanza na maeneo ya jirani  wakiongozwa na mkuu wa mkoa wa mwanza jana walijitokeza kwa wingi katika shuguli ya kuuaga mwili wa aliekuwa kocha msaidiz waTaifa  Stars na mkurugenzi  wa kituo cha Marsh Athletics, Sylvester Marsh aliyezikwa jana katika makaburi ya Igoma mkoani mwanza
picha hapo juu ni watoto waliokuwa katika marsh accademy wakilia kwa uchungu
Shughuli za kuaga mwili wa kocha huyo zilianza saa 4 asubuhi kwenye  Uwanja wa Shule ya Msingi Mirongo kadri muda ulivyokuwa unakwenda ndipo waombolezaji walizidi kumiminika katika eneo hilo

Advertisement

0 comments:

 
Top