Jose Mourinho jana aliongoza chelsea kupata kikombe  cha  kwanza tangu kurejea kwa mara ya pili kama meneja wa Chelsea na kusherekea ushindi Capital One Cup  dhidi ya Tottenham katika dimba la Wembley.

John Terry na Diego Costa  - wote kwa msaada wa deflections  waliipatia chelsea magoli mawili,na kuzima matumaini ya   Spurs 'ya kurudia mafanikio yao juu yao dhidi Chelsea katika shindano hili,kama ilivyokuwa kwenye ligi kwa kuifunga chelsea 5-3,aidha ilikuwa ni mechi ya kulipiza kisasi.rekodi ya mourinho chelsea ni kama ifuatavyo

Ligi Kuu:

                                      
2004-05, 2005-06

Kombe la FA:2006-07

                                    wachezaji wa chelsea wakishangilia ushindi wa jana


Kombe la Ligi:


2004-05, 2006-07, 2014-15

Community Shield:


2005

Mastery Mourinho alikuwa na kazi kubwa ya  uteuzi wa Kurt Zouma, beki wa kati kucheza  katika kiungo kutimiza wajibu kushoto nyuma na kusimama kama Nemanja Matic,ambae aliukosa mchezo huo kutokona na kuoneshwa kadi nyekundu katika mchezo wa ligi dhidi ya burnley

Advertisement

0 comments:

 
Top